Mwenyekiti wa CCM,Rais Jakaya Mrisho Kikwete
akisisitiza jambo wakati wa hotuba yake kwa wananchi wa Mkoa wa Kigoma
waliohudhulia Maadhimisho ya Miaka 36 ya kuzaliwa kwa CCM, yaliyofanyika kwenye
Uwanja wa Lake Tanganyika,Mkoani Kigoma jioni hii.
Waziri wa Uchukuzi,Dkt. Harisson Mwakyembe
akiwahutubia wananchi wa Mkoa wa Kigoma jioni hii na kuwahakikishia kuwa sasa
hivi mkoa wa Kigoma mambo yako vyema kabisa na treni itaendelea kufanyaka kazi
kama zamani.
Katibu Mkuu wa CCM,Ndg. Abdulrahman Kinana
akisema machache, muda mfupi kabla ya kumkaribisha Mwenyekiti wa CCM,Rais Jakaya
Mrisho Kikwete (hayupo pichani) kuwahutubia wananchi wa Mkoa wa Kigoma jioni
hii.
Katibu wa NEC,Itikadi na Uenezi CCM,Nape
Nnauye akiongoza shughuli hiyo.
Chipkizi wa CCM Mkoa wa Kigoma wakifanya
Gwaride la heshima kwa Mwenyekiti wa CCM,Rais Jakaya Mrisho Kikwete wakati wa
sherehe za Maadhimisho ya Miaka 36 ya kuzaliwa kwa CCM, yaliyofanyika jioni hii
kwenye Uwanja wa Lake Tanganyika Mkoani Kigoma.
No comments:
Post a Comment